• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
BUTIAMA DISTRICT COUNCIL
BUTIAMA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA BUTIAMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
  • Utawala
  • Investment Opportunities
  • Huduma
  • Councillors
  • Miradi
  • Media Centre

MAFUNZO KWA WATAALAMU WASIMAMIZI WA MIKOPO NGAZI YA KATA BUTIAMA DC.

Monday 19th, May 2025
@Ukumbi Mpya wa Halmashauri


Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Butiama Gosbert B.Rwakeza amefungua Mafunzo kwa kamati ya Huduma ya Mikopo ngazi ya Kata na kuwataka Kuonesha Uaminifu na Utiifu wa kusimamia Sheria na taratibu za utoaji wa Mikopo kwa ngazi yao ili kuitimiza azma ya Serikali kutoa Mikopo hiyo kwa Vikundi vya Wanawake,Vijana na wenye Ulemavu.

Kaimu Mkurugenzi amesema,Serikali imeamua Kuleta Mfumo na Muongozo Mpya wa utoaji wa Mikopo ili kuepusha udanganyifu na kulinda fedha hizo na Serikali itachukua hatua kwa yeyote atakaekaidi.

Halmashauri ya wilaya ya Butiaama imetenga zaidi ya shilingi milioni 350 kukopesha Vikundi vya Wanawake Vijana na Wenye Ulemavu.

Aidha uibuaji wa vikundi hivyo utafanyika kwenye Mikutano ngazi ya kata.


Matangazo

  • TANGAZO LA JINSI YA KUOMBA LESENI YA BIASHARA KWA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI June 29, 2023
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI BUTIAMA DC September 16, 2024
  • TANGAZO LA SHERIA NDOGO VIBALI VYA UJENZI BUTIAMA DC. January 27, 2025
  • TANGAZO LA SHERIA NDOGO VIBALI VYA UJENZI BUTIAMA DC. January 27, 2025
  • Zaidi

Habari mpya

  • MAFUNZO KWA WATAALUMU WASIMAMIZI WA MIKOPO NGAZI YA KATA BUTIAMA DC.

    October 09, 2024
  • MAFUNZO KWA WATAALUMU WASIMAMIZI WA MIKOPO NGAZI YA KATA BUTIAMA DC.

    October 09, 2024
  • Mara yafikia asilimia 95.5 matumizi fedha za lishe

    August 22, 2024
  • ZOEZI LA UHAKIKI WA PIKIPIKI ZILIZOTOLEWA NA WIZARA YA KILIMO

    July 26, 2023
  • Zaidi

Video

Alichokisema Mhe.Rais ,Mama Samia suluhu Hassan alipofika Butiama kwenye ziara
video

Viunganishi vya haraka

  • MAKUMBUSHO YA BABA WA TAIFA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • SECRETARIET YA AJIRA (KUTAFUTA KAZI)
  • KUPATA SALARY SLIP KWA WATUMISHI WA SERIKALI

Viunganishi Muambata

  • Mkoa wa Mara
  • Utumishi
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Butiama District Council

    Anuani ya posta: P.O.BOX 1207 BUTIAMA

    Simu: (028)2623121

    Simu: 0767300061/756357458

    Barua pepe: ded@butiamadc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • sera
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Butiama.Haki zote zimehifadhiwa