• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
BUTIAMA DISTRICT COUNCIL
BUTIAMA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA BUTIAMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango,takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi na Mazingira
      • Ufugaji wa Nyuki
      • TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • makumbusho ya Mwl.nyerere
    • Kilimo cha Mhogo
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Water
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha,Mipango na Utawala
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
        • Wajumbe wa Kamati EAM
      • Kamati ya Uchumi ,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajiwa
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Sheria
    • zabuni
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha mbalimbali
    • Matukio
    • Habari mpya

Historia

Halmashauri ya Wilaya ya Butiama ilianzishwa mwezi Agosti 2013, kabla ya hapo ilikuwa ni sehemu ya Halmashauri ya Wilaya ya Musoma vijijini. Halmashauri hii ndipo alipozaliwa baba waTaifa la Tanzania hayati Mwl.Julius Kambarage Nyerere.

Halmashauri ya Wilaya ya Butiama ina jumla ya eneo la kilometa za mraba 2,257.127. Kati ya eneo hilo kilometa za mraba 103 limefunikwa na ziwa Victoria.

Butiama kama yalivyo maeneo mengine ya kanda yaziwa hasa katika mkoa wa Mara ina misimu miwili tu ya mvua, kwa maana ya mvua za vuli ambazo hunyesha kati ya mwezi wa Oktoba hadi Desemba, na msimu mwingine wa mvua ni mvua za masika ambazo hunyesha kuanzia mwezi Machi hadi  mwezi Mei.

Halmashauri ya Wilayaya Butiama ina nyuzi joto za sentigredi kati ya 24 na 32.

Wakazi wa Halmashauri hii wanajihusisha na shughuli mbalimbali za kilimo, ufugaji, biashara, uvuvi pamoja na uchimbaji wa madini.

Mazao ya kilimo yanayopatikana Butiama ni mahindi, viazi mviringo, viazi vitamu n.k.

MUUNDO WA UTAWALA BUTIAMA

Halmashauri ya Wilaya ya Butiama inajumla ya tarafa mbili (2), kata kumi na nane(18), vijiji hamsini na tisa(59)  na vitongoji mia tatu na sabini (370). Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ndiye kiongozi mkuu wa taasisi akisaidiwa na wataalamu mbalimbali wa Halmashauri kwa maana ya wakuu wa Idara na vitengo.

Halmashauri ya Wilaya ya Butiama ina jumla ya Idara kumi na mbili na vitengo sita. Idara hizo ni hizi zifuatazo; Idara ya Utumishi na Utawala, Idara ya Mipango, takwimu na ufuatiliaji, Idara ya Afya, Idara ya Fedha na biashara, Idara ya Elimu msingi, Idara ya Elimu sekondari, Idara ya Kilimo ushirika na umwagiliaji, Idara ya Mifugo na uvuvi, Idara ya Ardhi na mal iasili, Idara ya Maendeleo ya jamii, Idara ya ujenzi na Idara ya Maji.

Pamoja na Idara hizo Halmashauri ya Butiama ina vitengo vifuatavyo; Kitengo cha sheria, Kitengo cha ukaguzi wa ndani, Kitengo cha Teknolojia ya habari na mawasiliano, Kitengo cha ugavi,Kitengo cha uchaguzi na Kitengo cha ufugaji nyuki.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA February 15, 2023
  • NYERERE DAY KUADHIMISHWA KIFAMILIA-MWITONGO BUTIAMA October 13, 2022
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE ZA SEKONDARI KIDATO CHA KWANZA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUTIAMA MWAKA 2023 December 15, 2022
  • ZOEZI LA UANDIKISHAJI WANAFUNZI WA DARASA LA AWALI NA DARASA LA KWANZA-2023 December 14, 2022
  • Zaidi

Habari mpya

  • Butiama Mshindi wa Tatu Kitaifa

    August 05, 2022
  • Mbunge Pamoja na uongozi wa Halmashauri watembelea ujenzi wa Miradi ya Maendeleo

    September 24, 2022
  • MWL.NYERERE MARATHON -KUELEKEA NYERERE DAY

    October 01, 2022
  • KATIBU TAWALA MKOA ATETA NA WATUMISHI BUTIAMA

    August 29, 2019
  • Zaidi

Video

Alichokisema Mhe.Rais ,Mama Samia suluhu Hassan alipofika Butiama kwenye ziara
video

Viunganishi vya haraka

  • MAKUMBUSHO YA BABA WA TAIFA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • SECRETARIET YA AJIRA (KUTAFUTA KAZI)
  • KUPATA SALARY SLIP KWA WATUMISHI WA SERIKALI

Viunganishi Muambata

  • Mkoa wa Mara
  • Utumishi
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Butiama District Council

    Anuani ya posta: P.O.BOX 1207 BUTIAMA

    Simu: (028)2623121

    Simu: 0769326535/756357458

    Barua pepe: ded@butiamadc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • sera
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Butiama.Haki zote zimehifadhiwa