Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Butiamaanawakaribisha Wananchi wote wa Butiama na maeneo jilani katika maadhimisho yamiaka 21 ya kifo cha Baba wa Taifa yatakayofanyika jumatano tarehe 14 Oct 2020Nyumbani kwake ,Mwitongo Wilayani Butiama,mkoani mara.
Maadhimishohayo nyatatanguliwa na Misa takatifu itakayofanyika katika kanisa Catholic laButiama kuanzia saa 4:00 Asubuhi.
WoteMnakaribishwa
Butiama District Council
Anuani ya posta: P.O.BOX 1207 BUTIAMA
Simu: (028)2623121
Simu: 0769326535/756357458
Barua pepe: ded@butiamadc.go.tz
Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Butiama.Haki zote zimehifadhiwa