• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
BUTIAMA DISTRICT COUNCIL
BUTIAMA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA BUTIAMA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
  • Utawala
  • Investment Opportunities
  • Huduma
  • Councillors
  • Miradi
  • Media Centre

Ardhi na Mipango miji

Ina vitengo vipatavyo vinne, ambavyo ni:

1.MipangoMijinaVijiji

2.ArdhiUtawala

3.UpimajiwaRamani

4.Uthamini



HudumazitolewazonaIdaranipamojana:

1.Kumilikisha ardhikwa wananchi

2.Kuandaa mipango mbalimbali ya miji na vijiji

3.Kuthaminisha ardhi kujua thamani yake

4.Kupima ardhi na kuandaa ramani za upimaji

5.Kutatua migogoro ya ardhi

6.Kutoa ushauri juu ya masuala yote ya ardhi


Maeneo ya miji yanamilikishwa kwa Sheria namba 4 ya Ardhi (1999) na Sheria ya Mipango Miji namba 8 (2007)

1.Kiabakari

2.Butiama

3.Kiagata

4.Buhemba

5.Makutano


Maeneo mengine yanayotarajiwa na yapo mbioni kutangazwa maeneo ya miji ni pamoja na:

1.Muriaza

2.Butuguri

3.Sirorisimba

4.Isaba


Umiliki wa ardhi Mjini – Mahitaji:

1.Eneo lazima liwe limeandaliwa mchoro wa mipangomiji

2.Kiwanja kipimwe kama kinavyoonyeshwa kwenye mchoro wa mipangomiji

3.Mwananchi kumilikishwa ardhi kutokana na matumizi yaliyopangwa


Umiliki wa ardhi vijijini –Mahitaji:

1.Mipaka ya kijiji ijulikane; mfano: kijiji kiwe kimepimwa mipakayake

2.Kijiji kiwekimeandaliwa mpango wa matumizi bora yaardhi

3.Kijiji kiwe na cheti cha ardhi

4.Kijiji kinapaswa kuwa na masijala ya ardhi

5.Eneo lililotengwa kwa ajili ya matumizi ya makazi liwe limeandaliwa

6.Eneo la mashamba linapimwa na kisha kuandaliwa ramani

7.Kuandaa hati za kimila


Matangazo

  • TANGAZO LA JINSI YA KUOMBA LESENI YA BIASHARA KWA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI June 29, 2023
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI BUTIAMA DC September 16, 2024
  • TANGAZO LA SHERIA NDOGO VIBALI VYA UJENZI BUTIAMA DC. January 27, 2025
  • TANGAZO LA SHERIA NDOGO VIBALI VYA UJENZI BUTIAMA DC. January 27, 2025
  • Zaidi

Habari mpya

  • MAFUNZO KWA WATAALUMU WASIMAMIZI WA MIKOPO NGAZI YA KATA BUTIAMA DC.

    October 09, 2024
  • MAFUNZO KWA WATAALUMU WASIMAMIZI WA MIKOPO NGAZI YA KATA BUTIAMA DC.

    October 09, 2024
  • Mara yafikia asilimia 95.5 matumizi fedha za lishe

    August 22, 2024
  • ZOEZI LA UHAKIKI WA PIKIPIKI ZILIZOTOLEWA NA WIZARA YA KILIMO

    July 26, 2023
  • Zaidi

Video

Alichokisema Mhe.Rais ,Mama Samia suluhu Hassan alipofika Butiama kwenye ziara
video

Viunganishi vya haraka

  • MAKUMBUSHO YA BABA WA TAIFA
  • WIZARA YA TAMISEMI
  • SECRETARIET YA AJIRA (KUTAFUTA KAZI)
  • KUPATA SALARY SLIP KWA WATUMISHI WA SERIKALI

Viunganishi Muambata

  • Mkoa wa Mara
  • Utumishi
  • Tovuti ya Baraza la Mitihani
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Butiama District Council

    Anuani ya posta: P.O.BOX 1207 BUTIAMA

    Simu: (028)2623121

    Simu: 0767300061/756357458

    Barua pepe: ded@butiamadc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • sera
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Butiama.Haki zote zimehifadhiwa